SIMULIZI -ULIKUWA WAPI SEHEMU YA 08 ULIKUWA WAP EP 08 Mshahara wangu wa kwanza haukuwa mwingi lakini kwa kipindi hicho, na kwa maisha niliyoishi, niliuona ni mwingi sana. Nilitoa pesa y…
SIMULIZI-ULIKUWA WAPI SEHEMU YA 07 ULIKUWA WAPI EP 07 Lakini pia kisasi kilinifanya nisiwe mtu wa marafiki wala wa kusaidia watu. Baba alikuwa na marafiki wengi sana akiwa hai, na alis…
SIMULIZI - ULIKUWA WAPI SEHEMU YA 06 Ulikua wapi 06 “Tukiwa kwenye msiba, kaka hakuweza kuja kuzika kwani hali yake ilikuwa mbaya sana hospitali. Walijitokeza ndugu ambao hata mimi sijaw…
SIMULIZI-ULIKUWA WAPI SEHEMU YA 05 ULIKUWA WAP EP 05 Kila nilipomsikiliza kaka Bahati akiongea, hasira zilinishika, nikazidi kuwachukia ndugu wanaoachiwa watoto na marehemu. Nilikumbuk…
SIMULIZI - ULIKUWA WAPI SEHEMU YA 04 ULIKUWA WP EP 04 Niliifahamu historia ya kaka Bahati baada ya kuishi naye miezi kadhaa, kwani hakuwa anazungumzia kila kitu mara moja. Yeye alizaliwa…
SIMULIZI - ULIKUWA WAPI SEHEMU YA 03 ULIKUWA WAP EP 03 Siku mbili baadaye, nilipata nafuu na kutoka hospitalini hapo, ingawa walishauri nikae zaidi lakini pesa niliyolipiwa ilikuwa imeis…
SIMULIZI - ULIKUWA WAPI SEHEMU YA 02 Ulikua wapi? EP 02 Mateso yangu yalizidi sana, lakini nilipata faraja kwa bibi, aliyenitia moyo kuvumilia akiniahidi kuna siku hali itakuwa sawa tena…
SIMULIZI - ULIKUWA WAPI SEHEMU YA 01 ulikuwa wap Sehemu Ya Kwanza (1) Ulikuwa wapi wakati mama yangu anafariki? Ulikuwa wapi nikiomboleza kwa ajili ya baba yangu? ulikuwa wapi nafukuzwa …